OCTOBER 06, 2013
Kwanza
kabisa natoa pole kwa wale wote waliousurika na janga la kuzama kwa boti baharini nchini
Italia katika kisiwa kiitwacho "Lampedusa", wengi wao wakitoka pembezoni kasikazini mwa
Afrika kuelekea barani Ulaya. Na Mungu azilaze roho za marehemu waliofia
baharini mahari pema peponi.